MAMBO 15 YA KUJIFUNZA KUTOKA KWA WATU WALIOFANIKIWA
Kuna watu fulani wanaweza kuja kwenye akili yako haraka hasa pale unapofikiri kuhusu mafanikio. Watu kama vile Steve Jobs, Elon Musk, Larry Page, Bill Gates, Mohamed Dewji. Ni ukweli usiopingika … Continue reading MAMBO 15 YA KUJIFUNZA KUTOKA KWA WATU WALIOFANIKIWA
JINSI MZALISHAJI ANAVYOFAIDIKA NA JASHO LA MMILIKI WA DUKA.
Habari rafiki mpenda maendeleo, naamini utakuwa salama kabisa na unaendelea vizuri na harakati za maisha. Leo napenda nikujulishe kama hufahamu ni biashara gani inabidi uifanye ili kupata faida kubwa bila … Continue reading JINSI MZALISHAJI ANAVYOFAIDIKA NA JASHO LA MMILIKI WA DUKA.
WHATSAPP GROUP: HUU NDIO MUDA WA KUFANYA MAAMUZI.
Habari kijana mwenzangu, nina imani uko poa kabisa na unaendelea vizuri na maisha. Na kama hali sio nzuri basi pole sana, ni changamoto tu za maisha, ni mapito tu. … Continue reading WHATSAPP GROUP: HUU NDIO MUDA WA KUFANYA MAAMUZI.
MAMBO (2) MUHIMU UNAYOTAKIWA KUPATA KWENYE MITANDAO YA KIJAMII.
Habari rafiki mpenda maendeleo, ni matumaini yangu uko poa kabisa na unaendelea kupambana na maisha. Leo ningependa nikuletee hii kuhusu mambo mawili muhimu unayotakiwa kuyapata kwenye mitandao ya kijamii. Kuna … Continue reading MAMBO (2) MUHIMU UNAYOTAKIWA KUPATA KWENYE MITANDAO YA KIJAMII.
HIVYO SIVYO ULIVYO
Huwa namsikiliza sana Marehemu Jim Rohn aliyekuwa mshauri na mhamasishaji mkubwa kule Marekani . Na siku moja akiwa anaongea na wafanyabiashara wakubwa wa Dunia alipata kuuliza swali hili “How tall … Continue reading HIVYO SIVYO ULIVYO
HIZI NDIZO SIFA 10 ZA MJASIRIAMALI.
Habari rafiki mpenda maendeleo, natumaini unaendelea vizuri na mapambano ya maisha. Nikutie tu moyo, endelea na harakati hizo, naamini ipo siku utaona matunda ya unachokifanya. Kama kawaida leo nakuletea makala … Continue reading HIZI NDIZO SIFA 10 ZA MJASIRIAMALI.
UJINGA WA FISI KATIKA KUTATUA TATIZO LA KUKOSA AJIRA.
Ujinga wa fisi ni zile hesabu zake za kujidanganya. Akimuona binadamu anatembea, yeye anamfuata nyuma anamvizia. Jinsi binadamu anavyotembea kwa kutupa mikono, fisi anaamini kuwa muda wowote utadondoka kisha yeye … Continue reading UJINGA WA FISI KATIKA KUTATUA TATIZO LA KUKOSA AJIRA.
MAMBO MATANO(5) WANAYOFANYA WATU WALIOFANIKIWA (5things successful people do everyday)
wa maendeleo, natumai u mzima wa afya ya kutosha, ni jambo la kumshukuru Mungu kwa neema hiyo, na kama hautakuwa salama basi usijali ni changamoto za maisha tu, hayo ni mapito na kila kitu kitakuwa sawa tu.
Leo ninapenda nikushirikishe mambo matano (5) muhimu katika maisha ambayo kila aliyefanikiwa katika Nyanja ya maisha yoyote anayafanya kila siku. Natumaini ukifata haya mambo nawe pia utakuwa miongoni mwa waliofanikiwa.
- Kitu cha kwanza baada ya kuamka asubuhi ni kumshukuru Mungu.
Asikudanganye mtu, kila siku asubuhi watu wote waliofanikiwa hawaachi kumshukuru Mungu, haijalishi unaabudu kitu gani, lakini lazima upige goti na kusema Asante Mungu kwa kuiona siku nyingine tena.
- Fanya mazoezi ya viungo.
Watu waliofanikiwa siku zote baada ya kuamka huwa wanafanya mazoezi ya viungo ili kuweka mwili sawa, hii husaidia ubongo kuamka na kuwa fiti kupokea mambo mapya siku hiyo, pia mazoezi huondoa uchovu wa mwili.
Ukitaka kufanikiwa katika siku yako, ni lazima ufanye mazoezi ili mwili wako uwe stable na uwe tayari kupokea vitu vipya, vinginevyo siku yako itaisha ukiwa kama mgonjwa.
- Kula kifungua kinywa chenya Afya.
Hapa watu wengi huwa wanachemka kwa sababu hatufati utaratibu wa kula kifungua kinywa chenye afya. Hapa hatumaanishi kula wali maharage na chai, hapana, hapa tumaanisha kula matunda, au juice, mbogamboga na vitu vingine natural ili kuweka mwili wako wenye afya ya mwili na ya akili.
- Safisha inbox yako kila siku
Hii ina maana sana katika mafanikio, hii inakuwezesha kuangalia meseji ambazo hujafanyia kazi na kuzifanyia kazi, hii itakufanya uianze siku ukiwa huna kitu kitakachokusumbua siku hiyo.
- Andaa mpangilio wa siku yako hiyo.
Hii kwa kiingereza inaitwa TO DO LIST, hii itakusaidia kujua siku yako itaendaje, hii ni muhimu sana kwa sababu siku yako utakuwa umeipangilia vizuri na itaisha ukiwa huna majuto yoyote ya kupoteza muda.
Hayo ndio mambo matano ambayo kila aliyefanikiwa hufanya kila siku, jaribu pia na wewe uone mabadiliko katika maisha yako.
Nikutakie kila lakheri katika utekelezaji wa haya.
Imeandaliwa na
Pius Justus Muliriye
0754745798 /0657128567